Skip to content
Mhubiri 6:1-2

Mhubiri 6:1-2

1
Nimeona ubaya mwingine chini ya jua, nao unalemea sana wanadamu:
2
Mungu humpa mwanadamu utajiri, mali na heshima, hivyo hakukosa chochote moyo wake unachokitamani. Lakini Mungu hamwezeshi kuvifurahia, badala yake mgeni ndiye anayevifurahia. Hili ni ubatili, ni ubaya unaosikitisha.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options