Mhubiri 6:1-2
1
Nimeona ubaya mwingine chini ya jua, nao unalemea sana wanadamu:
2
Mungu humpa mwanadamu utajiri, mali na heshima, hivyo hakukosa chochote moyo wake unachokitamani. Lakini Mungu hamwezeshi kuvifurahia, badala yake mgeni ndiye anayevifurahia. Hili ni ubatili, ni ubaya unaosikitisha.