Skip to content
Mhubiri 5:13-14

Mhubiri 5:13-14

13
Nimeshaona uovu mzito chini ya jua: Utajiri uliolimbikizwa kwa kujinyima na kuleta madhara kwa mwenye mali,
14
au utajiri uliopotea kwa bahati mbaya, hivyo kwamba wakati akiwa na mwana hakuna chochote kilichobaki kwa ajili yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options