Skip to content
Mhubiri 4:9-10

Mhubiri 4:9-10

9
Wawili ni afadhali kuliko mmoja, kwa sababu wana malipo mazuri kwa kazi yao:
10
Kama mmoja akianguka, mwenzake atamwinua. Lakini ni jambo la kuhuzunisha kwa mtu yule aangukaye naye hana wa kumwinua!
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options