Skip to content
Mhubiri 11:7-8

Mhubiri 11:7-8

7
Nuru ni tamu, tena inafurahisha macho kuona jua.
8
Hata kama mtu ataishi miaka mingi kiasi gani, na aifurahie yote. Lakini na akumbuke siku za giza, kwa maana zitakuwa nyingi. Kila kitu kitakachokuja ni ubatili.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options