Skip to content
Mhubiri 11:1-2

Mhubiri 11:1-2

1
Tupa mkate wako juu ya maji, kwa maana baada ya siku nyingi utaupata tena.
2
Wape sehemu watu saba, naam hata wanane, kwa maana hujui ni baa gani litakalokuwa juu ya nchi.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options