Skip to content
Mhubiri 10:2-3

Mhubiri 10:2-3

2
Moyo wa mwenye hekima huelekea kuume, lakini moyo wa mpumbavu huelekea kushoto.
3
Hata anapotembea barabarani, mpumbavu hukosa ufahamu na kudhihirisha kwa kila mmoja jinsi alivyo mpumbavu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options