Skip to content
Mhubiri 1:17-18

Mhubiri 1:17-18

17
Ndipo nilipojitahidi kufahamu kutofautisha hekima, wazimu na upumbavu, lakini nikatambua hata hili nalo ni kukimbiza upepo.
18
Kwa kuwa hekima nyingi huleta huzuni kubwa; maarifa yanapoongezeka, masikitiko yanaongezeka.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options