Kumbukumbu 8:3-4
3
Alikudhili na kukufanya uone njaa kisha akulishe kwa mana, ambayo wewe wala baba zako hamkuijua, awafundishe kuwa mwanadamu hataishi kwa mkate tu bali kwa kila neno litokalo katika kinywa cha Bwana.
4
Nguo zenu hazikuchakaa wala miguu yenu haikuvimba kwa miaka hii arobaini.