Skip to content
Kumbukumbu 7:2-3

Kumbukumbu 7:2-3

2
pia Bwana Mungu wako atakapowatia mkononi mwako na ukawashinda, basi ni lazima uwaangamize wote kabisa. Usifanye agano nao, wala usiwahurumie.
3
Usioane nao. Usimtoe binti yako kuolewa na mwanawe, au kumchukua binti yake aolewe na mwanao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options