Skip to content
Kumbukumbu 5:7-9

Kumbukumbu 5:7-9

7
Usiwe na miungu mingine ila mimi.
8
Usijitengenezee sanamu katika umbo la kitu chochote kilicho juu mbinguni au duniani chini au ndani ya maji.
9
Usivisujudie wala kuviabudu; kwa kuwa Mimi, Bwana Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu, ninayewaadhibu watoto kwa ajili ya dhambi za baba zao hadi kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options