Skip to content
Kumbukumbu 4:44-46

Kumbukumbu 4:44-46

44
Hii ndiyo sheria Mose aliyoweka mbele ya Waisraeli.
45
Haya ndiyo masharti, amri na sheria Mose aliyowapa wana wa Israeli wakati walitoka Misri,
46
nao walikuwa katika bonde karibu na Beth-Peori mashariki ya Yordani, katika nchi ya Sihoni mfalme wa Waamori, ambaye alitawala Heshboni, naye alishindwa na Mose na Waisraeli walipokuja toka Misri.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options