Skip to content
Kumbukumbu 5:1-5

Kumbukumbu 5:1-5

1
Mose akawaita Israeli wote, akawaambia: Ee Israeli, sikilizeni amri na sheria ninazowatangazia leo. Jifunzeni, na mwe na hakika kuzifuata.
2
Bwana Mungu wetu alifanya Agano nasi katika mlima wa Horebu.
3
Si kwamba Bwana alifanya Agano na baba zetu, bali alifanya nasi, nasi sote ambao tuko hai hapa leo.
4
Bwana alisema nanyi uso kwa uso kutoka moto juu ya mlima.
5
(Wakati huo nilisimama kati ya Bwana na ninyi kuwatangazia neno la Bwana, kwa sababu mliogopa ule moto, nanyi hamkupanda mlimani.) Naye Mungu alisema:
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options