Skip to content
Kumbukumbu 32:8-9

Kumbukumbu 32:8-9

8
Aliye Juu Sana alipowapa mataifa urithi wao, alipogawanya wanadamu wote, aliweka mipaka kwa ajili ya mataifa sawasawa na hesabu ya wana wa Israeli.
9
Kwa kuwa fungu la Bwana ni watu wake, Yakobo kura yake ya urithi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options