Kumbukumbu 32:32-34
32
Mzabibu wao unatoka kwenye mzabibu wa Sodoma, na kutoka kwenye mashamba ya Gomora. Zabibu zake zimejaa sumu, na vishada vyake vimejaa uchungu.
33
Mvinyo wao ni sumu ya nyoka, sumu yenye kufisha ya swila.
34
“Je, hili sikuliweka akiba na kulifungia kwenye vyumba vyangu vya hazina?