Skip to content
Kumbukumbu 32:3-4

Kumbukumbu 32:3-4

3
Nitalitangaza jina la Bwana. Naam, sifuni ukuu wa Mungu wetu!
4
Yeye ni Mwamba, kazi zake ni kamilifu, njia zake zote ni haki. Mungu mwaminifu ambaye hakosei, yeye ni mnyofu na mwenye haki.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options