Skip to content
Kumbukumbu 31:1-3

Kumbukumbu 31:1-3

1
Kisha Mose akaenda akasema maneno haya kwa Waisraeli wote:
2
“Sasa nina miaka mia moja na ishirini nami siwezi tena kuwaongoza. Bwana ameniambia, ‘Hutavuka Yordani.’
3
Bwana Mungu wenu, yeye mwenyewe atavuka mbele yenu. Ataangamiza mataifa haya mbele yenu, nanyi mtaimiliki nchi yao. Pia Yoshua atavuka mbele yenu, kama Bwana alivyosema.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options