コンテンツへスキップ
Kumbukumbu 29:5-6

Kumbukumbu 29:5-6

5
Kwa muda wa miaka arobaini niliyowaongoza jangwani, nguo zenu hazikuchakaa, wala viatu miguuni mwenu.
6
Hamkula mkate na hamkunywa divai wala kileo chochote. Nilifanya hivi ili mpate kujua kuwa mimi ndimi Bwana Mungu wenu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options