Skip to content
Kumbukumbu 29:5-6

Kumbukumbu 29:5-6

5
Kwa muda wa miaka arobaini niliyowaongoza jangwani, nguo zenu hazikuchakaa, wala viatu miguuni mwenu.
6
Hamkula mkate na hamkunywa divai wala kileo chochote. Nilifanya hivi ili mpate kujua kuwa mimi ndimi Bwana Mungu wenu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options