Skip to content
Kumbukumbu 26:7-8

Kumbukumbu 26:7-8

7
Kisha tulimlilia Bwana, Mungu wa baba zetu, naye Bwana akasikia sauti yetu na akaona huzuni yetu, taabu yetu na mateso yetu.
8
Kwa hiyo Bwana akatutoa nchi ya Misri kwa mkono wenye nguvu na ulionyooshwa, pamoja na utisho mkuu, ishara za miujiza na maajabu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options