Skip to content
Kumbukumbu 26:6-7

Kumbukumbu 26:6-7

6
Lakini Wamisri walituonea na kututaabisha, wakitufanyisha kazi ngumu.
7
Kisha tulimlilia Bwana, Mungu wa baba zetu, naye Bwana akasikia sauti yetu na akaona huzuni yetu, taabu yetu na mateso yetu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options