Skip to content
Kumbukumbu 26:6-7

Kumbukumbu 26:6-7

6
Lakini Wamisri walituonea na kututaabisha, wakitufanyisha kazi ngumu.
7
Kisha tulimlilia Bwana, Mungu wa baba zetu, naye Bwana akasikia sauti yetu na akaona huzuni yetu, taabu yetu na mateso yetu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options