Skip to content
Kumbukumbu 24:1-3

Kumbukumbu 24:1-3

1
Ikiwa mtu atamwoa mke na akamchukia kwa sababu ya kukosa adabu, naye akamwandikia hati ya talaka, akampa na kumfukuza kutoka nyumbani kwake,
2
ikiwa baada ya kuondoka nyumbani kwake atakuwa mke wa mtu mwingine,
3
ikiwa mume wake wa pili atachukizwa naye akamwandikia hati ya talaka, akampa na kumfukuza kutoka nyumbani kwake, au kama akifa,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options