Skip to content
Kumbukumbu 24:1-2

Kumbukumbu 24:1-2

1
Ikiwa mtu atamwoa mke na akamchukia kwa sababu ya kukosa adabu, naye akamwandikia hati ya talaka, akampa na kumfukuza kutoka nyumbani kwake,
2
ikiwa baada ya kuondoka nyumbani kwake atakuwa mke wa mtu mwingine,
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options