Skip to content
Kumbukumbu 23:15-16

Kumbukumbu 23:15-16

15
Ikiwa mtumwa amekimbilia kwako, usimrudishe kwa bwana wake.
16
Mwache aishi miongoni mwenu mahali popote anapopapenda na katika mji wowote anaochagua. Usimwonee.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options