Skip to content
Kumbukumbu 23:15-18

Kumbukumbu 23:15-18

15
Ikiwa mtumwa amekimbilia kwako, usimrudishe kwa bwana wake.
16
Mwache aishi miongoni mwenu mahali popote anapopapenda na katika mji wowote anaochagua. Usimwonee.
17
Asiwepo Mwisraeli mwanamke kahaba au mwanaume hanithi wa mahali pa kuabudia miungu.
18
Kamwe usilete mapato ya ukahaba ikiwa ni ya mwanamke au ni ya mwanaume katika nyumba ya Bwana Mungu wako kwa ajili ya nadhiri yoyote, kwa sababu Bwana Mungu wako anachukizwa na yote mawili.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options