Skip to content
Kumbukumbu 23:12-13

Kumbukumbu 23:12-13

12
Tengeni mahali nje ya kambi ambapo mnaweza kwenda kujisaidia.
13
Kama sehemu ya vifaa vyenu kuweni na kitu cha kulimia, nanyi mnapojisaidia, chimba shimo na kisha funika kile kikutokacho.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options