Skip to content
Kumbukumbu 23:10-11

Kumbukumbu 23:10-11

10
Ikiwa mtu amechafuka kwa sababu ya kutokwa na shahawa usiku, inampasa atoke nje ya kambi na kukaa huko.
11
Lakini jioni ikikaribia ataoga, na baada ya jua kuzama ataingia tena kambini.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options