Skip to content
Kumbukumbu 21:6-7

Kumbukumbu 21:6-7

6
Ndipo wazee wote wa mji ulio karibu zaidi na huyo maiti watanawa mikono yao juu ya huyo mtamba ambaye shingo yake imevunjwa huko kwenye bonde,
7
nao watatangaza: “Mikono yetu haikumwaga damu hii, wala macho yetu hayakuona likifanyika.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options