Kumbukumbu 2:14-16
14
Miaka thelathini na minane ilipita tangu wakati tulipoondoka Kadesh-Barnea mpaka tulipovuka Bonde la Zeredi. Kwa wakati huo kile kizazi chote cha wanaume kuanzia wale wawezao kwenda vitani kilikuwa kimekufa, kama Bwana alivyokuwa amewaapia.
15
Mkono wa Bwana uliwakabili hadi alipowaangamiza wote huko kambini.
16
Ikawa baada ya mtu wa mwisho kuanzia wale wawezao kwenda vitani kufa,
Settings