Skip to content
Kumbukumbu 13:1-2

Kumbukumbu 13:1-2

1
Kama nabii, au yule anayetabiri kwa njia ya ndoto, akijitokeza miongoni mwenu na akawatangazia ishara ya miujiza na ajabu,
2
ikiwa ishara au ajabu ya aliyozungumza ikatokea, naye akasema, “Na tufuate miungu mingine” (miungu ambayo hamjaifahamu) “na tuiabudu,”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options