Skip to content
Kumbukumbu 10:17-18

Kumbukumbu 10:17-18

17
Kwa kuwa Bwana Mungu wenu ni Mungu wa miungu na Bwana wa mabwana, Mungu mkuu, mwenye uweza na wa kutisha, ambaye hana upendeleo na hapokei rushwa.
18
Huwapigania yatima na wajane, humpenda mgeni, akimpa chakula na mavazi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options