Skip to content
Danieli 8:15-16

Danieli 8:15-16

15
Mimi Danieli nilipokuwa ninaangalia maono na kujaribu kuelewa, mbele yangu alisimama mmoja aliyefanana na mwanadamu.
16
Kisha nikasikia sauti ya mwanadamu kutoka Mto Ulai ikiita, “Gabrieli, mwambie mtu huyu maana ya maono haya.”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options