Skip to content
Danieli 7:21-22

Danieli 7:21-22

21
Nilipoendelea kutazama, pembe hii ilikuwa inapigana vita dhidi ya watakatifu na kuwashinda,
22
mpaka huyo Mzee wa Siku alipokuja na kutamka hukumu kwa kuwapa ushindi watakatifu wa Yeye Aliye Juu Sana, na wakati ukawadia walipoumiliki ufalme.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options