Danieli 5:25-28
25
“Haya ndiyo maneno yaliyoandikwa: mene, mene, tekeli na peresi
26
“Hii ndiyo maana ya maneno haya: “Mene: Mungu amezihesabu siku za utawala wako na kuukomesha.
27
Tekeli: Wewe umepimwa katika mizani na umeonekana umepungua.
28
Peresi: Ufalme wako umegawanywa na kupewa Wamedi na Waajemi.”