Skip to content
Danieli 2:2-3

Danieli 2:2-3

2
Hivyo mfalme akawaita waganga, wasihiri, wachawi na wanajimu ili wamwambie ndoto yake aliyokuwa ameota. Walipoingia ndani na kusimama mbele ya mfalme,
3
akawaambia, “Niliota ndoto inayonisumbua, nami nataka nijue maana yake.”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options