Skip to content
Danieli 2:1-3

Danieli 2:1-3

1
Katika mwaka wa pili wa utawala wake, Nebukadneza aliota ndoto. Mawazo yake yakasumbuka na hakuweza kulala.
2
Hivyo mfalme akawaita waganga, wasihiri, wachawi na wanajimu ili wamwambie ndoto yake aliyokuwa ameota. Walipoingia ndani na kusimama mbele ya mfalme,
3
akawaambia, “Niliota ndoto inayonisumbua, nami nataka nijue maana yake.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options