Skip to content
Danieli 12:8-9

Danieli 12:8-9

8
Nilisikia, lakini sikuelewa. Kwa hiyo nikauliza, “Bwana wangu, matokeo ya haya yote yatakuwa nini?”
9
Akajibu, “Danieli, enenda zako, kwa sababu maneno haya yamefungwa na kutiwa muhuri mpaka wakati wa mwisho.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options