Skip to content
Danieli 10:2-3

Danieli 10:2-3

2
Wakati huo, mimi Danieli nikaomboleza kwa majuma matatu.
3
Sikula chakula kizuri; nyama wala divai havikugusa midomo yangu; nami sikujipaka mafuta kamwe mpaka majuma matatu yalipotimia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options