Skip to content
Danieli 10:2-3

Danieli 10:2-3

2
Wakati huo, mimi Danieli nikaomboleza kwa majuma matatu.
3
Sikula chakula kizuri; nyama wala divai havikugusa midomo yangu; nami sikujipaka mafuta kamwe mpaka majuma matatu yalipotimia.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options