Skip to content
Wakolosai 3:8-9

Wakolosai 3:8-9

8
Lakini sasa yawekeni mbali nanyi mambo kama haya yote: yaani hasira, ghadhabu, uovu, masingizio na lugha chafu kutoka midomoni mwenu.
9
Msiambiane uongo, kwa maana mmevua kabisa utu wenu wa kale pamoja na matendo yake,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options