Skip to content
Wakolosai 2:2-3

Wakolosai 2:2-3

2
Kusudi langu ni watiwe moyo na kuunganishwa katika upendo, ili wapate ule utajiri wa ufahamu mkamilifu, ili waijue siri ya Mungu, yaani, Kristo mwenyewe,
3
ambaye ndani yake kumefichwa hazina zote za hekima na maarifa.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options