Skip to content
Wakolosai 1:17-18

Wakolosai 1:17-18

17
Yeye alikuwepo kabla ya vitu vyote, na katika yeye vitu vyote vinashikamana pamoja.
18
Yeye ndiye kichwa cha mwili, yaani kanisa, naye ndiye mwanzo na mzaliwa wa kwanza kutoka kwa wafu, ili yeye awe mkuu katika vitu vyote.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options