Skip to content
Wakolosai 1:1-2

Salamu

Wakolosai 1:1-2
1
Paulo, mtume wa Kristo Yesu, kwa mapenzi ya Mungu, na Timotheo ndugu yetu:
2
Kwa ndugu watakatifu na waaminifu katika Kristo, waishio Kolosai: Neema na amani zitokazo kwa Mungu Baba yetu ziwe nanyi.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options