Skip to content
Amosi 3:7-8

Amosi 3:7-8

7
Hakika Bwana Mwenyezi hatafanya neno lolote bila kuwafunulia watumishi wake manabii siri yake.
8
Simba amenguruma: je, ni nani ambaye hataogopa? Bwana Mwenyezi ametamka: je, ni nani awezaye kukosa kutoa unabii?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options