Skip to content
Matendo 9:3-6

Matendo 9:3-6

3
Basi akiwa katika safari yake, alipokaribia Dameski, ghafula nuru kutoka mbinguni ikamwangaza kotekote.
4
Akaanguka chini, akasikia sauti ikimwambia, “Sauli, Sauli, mbona unanitesa?”
5
Sauli akajibu, “U nani wewe, Bwana?” Ile sauti ikajibu, “Mimi ni Yesu unayemtesa.
6
Sasa inuka uingie mjini, nawe utaambiwa yakupasayo kutenda.”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options