Skip to content
Matendo 8:6-8

Matendo 8:6-8

6
Watu walipomsikia Filipo na kuona ishara na miujiza aliyofanya, wakasikiliza kwa bidii yale aliyosema.
7
Pepo wachafu wakawa wakiwatoka watu wengi huku wakipiga kelele na wengi waliopooza na viwete wakaponywa.
8
Hivyo pakawa na furaha kuu katika mji huo.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options