Skip to content
Matendo 8:6-7

Matendo 8:6-7

6
Watu walipomsikia Filipo na kuona ishara na miujiza aliyofanya, wakasikiliza kwa bidii yale aliyosema.
7
Pepo wachafu wakawa wakiwatoka watu wengi huku wakipiga kelele na wengi waliopooza na viwete wakaponywa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options