Skip to content
Matendo 8:4-8

Matendo 8:4-8

4
Kwa hiyo wale waliotawanyika wakalihubiri neno la Mungu kila mahali walipokwenda.
5
Filipo akateremkia mji mmoja wa Samaria akawahubiria habari za Kristo
6
Watu walipomsikia Filipo na kuona ishara na miujiza aliyofanya, wakasikiliza kwa bidii yale aliyosema.
7
Pepo wachafu wakawa wakiwatoka watu wengi huku wakipiga kelele na wengi waliopooza na viwete wakaponywa.
8
Hivyo pakawa na furaha kuu katika mji huo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options