Chuyển đến nội dung
Matendo 8:38-39

Matendo 8:38-39

38
Naye akaamuru lile gari lisimamishwe. Wakateremka kwenye maji wote wawili, yule towashi na Filipo, naye Filipo akambatiza.
39
Nao walipopanda kutoka kwenye maji, ghafula Roho wa Bwana akamnyakua Filipo, naye towashi hakumwona tena, lakini akaenda zake akifurahi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options