Skip to content
Matendo 8:15-17

Matendo 8:15-17

15
Nao walipofika wakawaombea ili wampokee Roho Mtakatifu,
16
kwa sababu Roho Mtakatifu alikuwa bado hajawashukia hata mmoja ila wamebatizwa tu katika jina la Bwana Yesu.
17
Ndipo Petro na Yohana wakaweka mikono yao juu ya wale waliobatizwa, nao wakapokea Roho Mtakatifu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options