Skip to content
Matendo 7:15-16

Matendo 7:15-16

15
Hivyo Yakobo akaenda Misri ambako yeye na baba zetu walifia.
16
Miili yao ilirudishwa Shekemu na kuzikwa katika kaburi ambalo Abrahamu alinunua kutoka kwa wana wa Hamori kwa kiasi fulani cha fedha.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options