Skip to content
Matendo 4:34-35

Matendo 4:34-35

34
Wala hapakuwepo mtu yeyote miongoni mwao aliyekuwa mhitaji, kwa sababu mara kwa mara wale waliokuwa na mashamba na nyumba waliviuza, wakaleta thamani ya vitu vilivyouzwa,
35
wakaiweka miguuni pa mitume, kila mtu akagawiwa kadiri ya mahitaji yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options