Skip to content
Matendo 4:19-20

Matendo 4:19-20

19
Lakini Petro na Yohana wakajibu, “Amueni ninyi wenyewe iwapo ni haki mbele za Mungu kuwatii ninyi kuliko kumtii Mungu.
20
Lakini sisi hatuwezi kuacha kusema yale tuliyoyaona na kuyasikia.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options